Friday, May 25, 2012

DIAMOND NDANI YA BBA STAR GAME HOUSE






  Msanii mkali wa bongo fleva anayetamba na wimbo wake wa nimpende nani, na pia mshindi wa tuzo tatu za kilimanjaro tanzania music awards (KTMA) kwa mwaka 2011/2012, atatumbuiza ndani ya BBA siku ya jumapili may 27 kwenye live eviction show saa 20;00 CAT

Kumbuka diamond ni msanii wa kwanza kutoka Tanzania kuwa nominated kwenye tuzo za MTV african music awards (MAMA).category ya new act award 2010