Friday, June 8, 2012

BAGHDAD TALKS ABOUT HIS NEW MOVIE



Msanii wa HIP HOP, Praygod,   Kweka better known by his stage name  as Baghdad ambaye ni ex-member wa kundi la mexicana lacavela, earlier this morning amechonga na  CHUOLIFE  kuhusiana na movie yake hot inayokwenda kwa jina la LINAH.
Young rapper huyo amesema hadi movie kukamilika na kuingia sokoni itagharimu  pesa za madafu(tanzanian shillings) kama million 18
Rapper mkali wa freestyle ameongezea kuwa movie hiyo itawashirikisha  wanamuziki zaidi ya 30wa bongofleva, bila kusahau company  iliyo simamia production inayoitwa Shine production, chini ya director  Pete.
So bongo movie fans stay tuned kwani movie itakuwa sokoni right after idd