Tuesday, June 5, 2012

REDDS MISS CHANG'OMBE 2012 YANUKIA


Kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo atakaewakilisha kitongoji cha Chang'ombe katka mashindano ya miss Temeke  kinatarajiwa kufanyika Jumamosi  hii June 9 ktika ukumbi wa Quality centre. Shindano hilo linatarajiwa kupambwa na msanii wa bongofleva maarafu kama Diamond. Viingilio katika kinyang'anyiro hicho ni Tsh 80000V-VIP na Tsh 40000 VIP na 10000 kawaida.